Habari Naitwa Aisha. Mimi ni mkazi wa dar es salaam, natafta sana mtaji wa kuanzisha biashara ya kilimo hapa dar kisiju, eneo la kufanyia kilimo ninalo, ila sina mtaji wa kuanzisha kilimo kwa ujumla, nimeazimwa heka 11 za kulimia tu, na eneo lina asili ya maji chini kama nikichimba kisima...
Hey guys,
I’m reaching out with a heavy heart and a strong desire to change my current situation. I’ve been working in a low-paying marketing job for nine years, applying for better opportunities but getting nowhere. I’ve also tried starting small businesses over the years, but they’ve all...
Nina refinery ndogo ambayo ina uwezo kufanya refining mafuta ya kupikia kama alizeti, soya, mawese nk na kuyaboresha zaidi katika viwango vilivyoidhinishwa na TBS.
Nipo Mbeya na mwekezaji itakuwa vizuri naye akiwepo Mbeya. Refining ina uwezo wa kuzalisha lita 2000 kwa siku au tani 1.7 au ndoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.