Serikali imetoa fedha kwa Kata mbili (2) kujenga sekondari mpya za Kata hizo.
Kata hizo ni:
1. Nyamrandirira
Sekondari itajengwa Kijijini Kasoma
2. Bukima
Sekondari itajengwa Kijijini Butata
Serikali imetenga Tsh 584,280,000.000 (Tsh 584.28m) kwa ujenzi wa kila moja!
Ushauri...