Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya viwanda ktk nchi yetu. Wakati huo huo tunailalamikia bidhaa kupanda bei.
Mimi sikutegemea malalamiko ya bidhaa kupanda Bei kwa muda huu ambapo tunahangaika kufufua viwanda.
Kwa mtazamo wangu kwa hatua hii ya awali ya kuendeleza sekta ya viwanda...
Utawala bora na uwajibikaji ni mambo muhimu katika kukuza maendeleo ya nchi yoyote. Katika Tanzania, kama nchi nyingine, sekta muhimu kama biashara, viwanda na usafirishaji,na sekta ya kilimo na madini zinahitaji utawala bora na uwajibikaji ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu. Kwa...