Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko na Waziri wa Nishati wa Ubelgiji, Tinne Van Straeten wamekubaliana kishirikiana katika sekta hiyo hususani matumizi ya nishati safi ya kupikia.
Katika kikao cha viongozi hao kilichofanyika Windhoek, Namibia, viongozi hao walikubaliana...