Ukitoa ubovu wa miundombinu iliyopo katika sekta ya usafirishaji na mapungufu yaliyopo kwenye makampuni ya usafirishaji tatizo kubwa lipo kwa mamlaka ya usafiri aridhini LATRA na serikali maana mapendekezo mengi ya abiria yamekuwa yakipuuzwa na wasafirishaji wamepewa kipaumbele.
Hali hiyo...