Habari!
Mwenye uzoefu na biashara ya kusaga na kukoboa mahindi ( sembe na Dona ) Naomba kuelimishwa faida katika kila kilo mfano kwenye Sembe ( kama wewe ndio mwenye kiwanda unatakiwa kuweka shi. ngapi au asilimia ngapi )
======
Pia soma:
Biashara ya sembe Dar es Salaam ipoje?
Ushauri: Nataka...