Habari Wataalamu.
Kuna website yangu ambayo iko kwa developer na muda wowote atanikabidhi kazi baada ya kumaliza upade wake.
Sasa ninafikiria kupata expert tofauti ili anifanyie SEO na kuhakikisha website iko sawa. Mu huyu atatusaidia kuona website kama iko sawa na kuhakikisha inaingiza...