Habarini waungwana....
Vijana na marafiki zangu wananiambia weekend twende kutazama mechi ya simba, nimewaambia siendi.
Siwezi kwenda kupoteza pesa zangu kwa ajili hiyo, nimewaambia ni heri jumapili nipoe na kusubiri Jumatatu ifike ili niende kwenye maombolezo kwani huko ndipo roho na akili...