Serena Hotels is a hospitality company which operates up-scale hotels and resorts in East Africa, Southern Africa and South Asia.
As of 2023, Serena comprises a collection of 34 luxury resorts, safari lodges, and hotels, which are located in East Africa (Democratic Republic of the Congo, Kenya, Tanzania, Rwanda, Uganda, and Mozambique) and Central and South Asia (Pakistan, Afghanistan, and Tajikistan).
The Serena Hotels Group trades under the name Tourism Promotion Services (TPS Serena). The company is listed on the Nairobi Stock Exchange (NSE), where it trades under the symbol TPS. The largest shareholder (45%) is the Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED), with a further 4% owned by the Aga Khan University Foundation.
Kiongozi wa waislamia duniani ajulikanaye kama HH The Aga Khan amefariki dunia akiwa na Umri wa miaka 88.
Kwa Tanzania, Aga Khan atakumbukwa sana kwa kujenga miundo mbinu mizuri sana ya kutoa huduma za afya na elimu. Shule za Tambaza (Dar), Mkendo (Musoma), Mzizima (Tanga) ni baadhi ya shule...
Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai.
Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba...
Mkazi wa Dar es Salaam, Denis Mfumbulwa mwenye miaka 44 wa Goba Kulangwa amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Kariakoo akidaiwa kujipatia malazi na chakula kwenye hoteli ya Serena kitapeli vyenye thamani ya milioni 21.4
Baada ya kupata huduma, mdaiwa alitokomea kusikojulikana. Mfumbulwa alikana...