Nisingependa kukuchosha kwa kukuandikia notes bali wewe mwenyewe google ujifunze maana ya Taifa ( nation), Nchi( country) na Serikali ( government)
Ukichambua kimakini utagundua pale TANU na ASP zilipoungana tukawa na Utamaduni Mmoja wa kisiasa kimsingi hata Serikali ikawa ni Moja tu hii ya...
Huu ni utafiti usio rasmi! Yeyote mwenye mashaka aingie "field" kujiridhisha.
Watanganyika hawautaki kwa sababu hawakushirikishwa. Rais wao wa wakati huo alijiamulia mwenyewe bila kujali matakwa ya wananchi wengi.
Wazanzibar ndiyo kabisa, hawataki hata kuusikia. Nao kama wangeshirikishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.