Hali ya mvutano inaendelea nchini Chad baada ya vyama vya upinzani kutaka kumalizika kwa haraka kwa serikali ya mpito nchini humo na kufutwa kwa uchaguzi mkuu uliofanyika Desemba 29.
Kwa mujibu wa upinzani, uchaguzi huo ulisusiwa kwa kiasi kikubwa na wananchi na hivyo haupaswi kuendelea
Tume...