Wasalaam,
Nimehamasika kuja na uzi tajwa baada ya kumsikia mama rais Samia akionesha kushangazwa na kusikitishwa na minong'ono iliyokuwepo bungeni kipindi kile baada ya aliyekuwa rais wa Tanzania JPM kufariki dunia
Kwa mujibu wa mama,ilimbidi kusoma katiba na hakaona kitu kinachoitwa...