serikali ya trump

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Jaji Amir Ali aiamuru serikali ya Trump kurudisha misaada yote ikiwemo ya USAID iliyositishwa!

    Jaji Ali wa Federal Court ya huko Marekani ameondoa amri ya kuzuia misaada iliyowekwa na Trump mpaka kesi mbalimbali zilizofunguliwa na makundi mbalimbali ya watu zitakaposikilizwa na kutolewa hukumu. MAGA wamelalamika sana wakisema inawezekana vipi Jaji muhamiaji ambaye ni DEI, Mwarabu na...
  2. Yoda

    Machungu ya Trump kukata msaada yamefika hadi nyumbani kwa Wamarekani!

    Huko Marekani nako raia wategemezi wa msaada na viongozi wao Democrats wanapiga ukunga msaada wa serikali kuu ya Marekani kusitishwa. Waliothirika ni pamoja na sekta ya afya, shule za umma na wanajeshi veterans. Inasemwa amri ya Trump kuzuia misaada imeleta mkanganyiko ndani ya Marekani kwa...
Back
Top Bottom