Kila mwaka repoti za ukaguzi wa mahesabu ya serikali za mitaa zmekuwa zkionyesha mapungufu makubwa, yakiwemo kufanya manunuzi bila kushindanisha wazabuni, kufanya manunuzi ambayo hayakupitishwa na bodi za zabuni, kufanya manunuzi kutoka kwa wazabuni ambao hawakuidhinishwa, kufanya manunuzi na...