Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei, ametoa ya moyoni kuhusu jinsi benki zinavyojiendesha kwa sasa. Dkt. Kimei ni mtaalamu katika sekta ya fedha na ameshikilia nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB kwa miaka 25.
Dkt. Kimei amesema kuwa kwa sasa benki zinapata faida kubwa sana, jambo...