setelaiti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kassim Majaliwa: Tanzania inajiandaa kurusha Setelaiti

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza wa Mpango mkakati wa miaka mitano 2024/25 – 2029/30 wa Anga za juu utakaoiwezesha Tanzania kurusha satelaiti. Amesema kuwa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam imepata mradi wa Utafiti wa kuwezesha urushaji wa satelaiti...
  2. I

    Dkt. Pesha: Tunatarajia kurusha Setelaiti yetu angani 2025, sasa tumefikia hatua ya matengenezo

    Tanzania kupitia Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam- (DIT) ikishirikiana na wadau mbalimbali wapo katika mchakato wa maandalizi ya kutengeneza na kurusha Setelaiti angani. Akizungumzia mchakato huo Julai 25, 2024 wakati akihojiwa na Kituo cha habari cha Channel Ten, Mkurugenzi wa Taaluma...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…