Wakuu,
Wafanyabiashara wa Kariakoo wamemchagua Mwenyekiti wao mpyA anayeitwa Severini Mushi aliyepata kura 229 akimshinda, Martin Mbwana aliyekuwa akitetea kiti hicho ambaye amepata kura 12.
Soma pia: Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa
Uchaguzi huo umefanyika Alhamisi Desemba 5...
Bwana Mushi;
1. Una elimu gani
2. Umri wako
3. Uzoefu wako kwenye biashara
4. Unafanya biashara Gani?
5. Utafanyaje ukichaguliwa, kutokuingiza siasa kwenye biashara?
6. Ni nini msimamo wako, kuhusu migomo ya wafanya biashara?
7. Saa100 ameruhusu raia wa kichina kufanya biashara za umachinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.