Kwanza nitie msisitizo nguvu bado ninazo na moto napeleka fresh tu.
Nina miaka 32, Nmeajiriwa serikalini, Mshahara 2.x take home, ni mfanyabiashara pia, nina mke na watoto wawili wa kiume, Hivi karibuni nmekuwa mdau sana wa maendeleo.
Tatizo ni kwamba, zamani nilikuwa napenda sana kufanya hii...