Wadau wa JF habari!
Kama ikitokea hawa wanawake wakatambua kua wamekosea na kuomba radhi nashauri wasamehewe. Jambo hili limetukwaza wengi ila kama watakiri makosa wasamehewe na tuwapokee.
CCM iliweza kuwasamehe kina Sophia Simba. Jesca Msambatavangu na wengineo hivyo...