sgr dar dodoma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Braza Kede

    Maeneo mengi inayopita SGR hayana network nzuri ya simu, Je makampuni ya simu hayaoni pesa hii inayopotea?

    Hii ni ajabu na kweli ukisafiri na treni ya SGR utakuta maeneo mengi inapopita hiyo treni hayana network nzuri ya simu. Je makampuni ya simu hayaoni kama wanapoteza fursa ya kupiga pesa? Hawaoni pesa mingi inayopotea hapa au ndo wameshashiba na kuvimbewa hawataki pesa tena?
  2. Roving Journalist

    Licha ya baadhi ya barabara za Dar kufungwa, TRC yasema ratiba ya Treni zinaendelea kama ilivyopangwa

    TAARIFA KWA UMMA RATIBA ZA TRENI KUFUATIA MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA JIJINI DAR ES SALAAM JANUARI 27-28, 2025 Dar es Salaam, Januari 26, 2025. Shirika la Reli Tanzania (TRC) linapenda kuuarifu umma kuwa ratiba ya safari za treni kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma...
  3. Braza Kede

    SGR: Je ukibadilisha tarehe ya safari nauli inaongezeka?

    Wakuu hili ni swali kwa wahusika au kama kuna mdau hapa mwenye ufahamu asaidie ufafanuzi. Nina jamaa yangu hapa ana tiketi ya safari ila alitaka kubadilisha tarehe ya safari ili asafiri siku za mbele. Sasa akaingia kwenye mfumo unamletea bill mpya ambayo ni kubwa kuliko hata ya ile ya tiketi...
  4. J

    Balozi wa Marekani Michael Battle amesema amesafiri kwa treni kwenye mabara 4 duniani lakini SGR ya Tanzania ni nzuri zaidi

    Balozi wa Marekani nchini Tanzania Michael Battle amesafiri Kwa Treni ya SGR kutoka Dar hadi Dodoma na kupongeza Huduma nzuri alizopata akiwa Safarini ambazo hajawahi kuziona Katika Mabara 4 duniani alikosafiri Kwa Treni Kupitia ukurasa wake binafsi wa X, Michael Battle ameandika: "Train from...
  5. Mshana Jr

    Je TRC/SGR inahujumiwa ama inajihujumu!

    Kama usafiri wa treni ya umeme ungefanya Kazi kwa ufanisi hasa kwenye hii njia ya Dar Dodoma ingekuwa ni mkombozi na mapinduzi makubwa ya usafiri wa haraka Tanganyika. Nimemsikia mkurugenzi mkuu wa TRC alilalamika kwamba wanahujumiwa na wanawajua kwa majina wahujumu wote.. Hapa inashangaza...
  6. and 300

    Nini kinazuia Mawaziri kupanda SGR kati ya Dar es Salaam - Dodoma?

    Mawaziri wa Tanganyika mjitafakari kama kweli mna uchungu na nchi hii mbona bado mnafuja Kodi za wananchi? Yaan Dar-Dodoma bado mnaendesha maV8 wakati SGR IPO?
  7. kimsboy

    Ni lini serikali itaanza ujenzi wa SGR ya kwenda Moshi na Arusha?

    Ni lini serikali itaanza ujenzi wa SGR ya kwenda Moshi na Arusha? Hakuna kanda inaongoza kwa kua na wasafiri na watalii kama kanda ya kaskazini. Sasa ni lini serikali yetu itaanza ujenzi wa treni ya umeme kwenda mikoa ya Tanga,Moshi na Arusha. Serikali ingeingiza mabilioni kwa matrilioni...
  8. Mudawote

    KERO Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi

    Great thinkers, Naona huyu Mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za Jengo la Abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi? Nashauri Dkt Samia tumbua huyu Mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupanda treni Pia soma:Mrejesho: Asante JF...
  9. version001

    Treni ya SGR Dodoma kwenda Dar imekwama kituoni Mkata SGR station toka saa 1 jioni

    Kama kichwa cha habari kinavyosema, tunasubili mrejesho tuendelee na safari. Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna marekebisho mbele huko. ===== UPDATES: 2200HRS ====== TRC: Hii Treni haijakwama bali ilikua ikisubiria kupishana na treni nyingine. Abiria walitangaziwa. UPDATES 2...
  10. HaMachiach

    Tren ya SGR yazidiwa na abiria kutoka Dar to Dodoma

    Abiria wanao tumia tren ya mwendo Kasi SGR kutoka Dar to Dodoma wamekuwa wengi sana kupelekea tren kukaa mapema huku abiria wakikosa sit nashauri wahusika waongeze mabehewa kuliko kutumia hayo 14 tu yaliyopo mtu unatafuta sit siku mbili mbele unaambiwa tren imejaa. Mfano Jana jumamosi...
  11. S

    SGR boresheni mfumo wenu wa ticket uwe Partial Seat Booking ili kuepuka abiria wanaozidisha safari

    Partial booking ipo hivi: Mfano tuchukulie vituo vichache (vinne) vya treni Dar, Pugu, Moro, Dom. Abiria akikata tiketi ya Dar-Pugu, seat husika baada ya kuchaguliwa na abiria wa Dar-Pugu haitakiwi kuwa faint (innactive/unavailable), bali inatakiwa iendelee kuwa active kwa machaguo ya...
  12. Mzee Mwanakijiji

    Wazo Fyatu: Ni mabingwa wa kuzindua vitu

    Haiwezekani hata mwezi haujapita watu washaanza kulalamikia SGR, yaani uhamasishaji wote wa kwanini hii ni reli ya kisasa. Kumbe bado ina watu wa kizamani!! Wanafikra za kizamani. Imenikumbisha Wabongo tunavyopenda kuzindua vitu. Angalia vitu vilivyozinduliwa kwa mbwembwe za mbio za mwenge...
  13. Dali Mpofu

    Hivi ajira za Wahudumu kwenye Treni zilitangazwa lini?

    Nimeona mchakato toka reli inaanza kujengwa, Treni zenyewe kufika, na Tarehe ya uzinduzi. Hakuna mahali nimeona Tangazo la kazi mchakato wa kupata izi ajira kwenye treni pamoja na wahudumu? Je wamepatikanaje? Soma Pia: Baadhi ya Wahudumu wa Treni ya SGR (Dar) wanalangua tiketi kisha wanaziuza...
  14. N

    TRC: Tumewakamata Watu kadhaa waliokuwa wanafanya ulanguzi wa tiketi za SGR na kufanya udanganyifu

    Siku moja baada ya taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Tanzania (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro kutoa ripoti inayoonyesha kuwepo kwa abiria wenye lengo la kuhujumu Shirika Hilo hatimaye Leo Shirika la Reli (TRC) Limekiri kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu kwa baadhi ya abiria wa Treni ya umeme...
  15. buswagg

    Ushauri wangu kwa Rais Samia kuhusu treni ya umeme (SGR)

    In short wananchi tunafahamu weakness walonayo viongozi wengi serikalini , Sio waoga kuiba by any means, yani upenyo mdogo tu wanaharibu kila kitu, pia ni very slow thinkers, pia mifumo ya usimamizi wa mashirika makubwa ya serikali unaamuliwa na wana siasa na sio wasomi walobobea, so hua hakuna...
  16. Cute Wife

    Treni ya SGR yazimika tena Morogoro!

    Rais Samia akiwasalimia wananchi katika uzinduzi wa treni Agosti 1, 2024 Rais Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi amezindua rasmi huduma za usafiri wa reli ya kisasa (SGR), treni iliyokuwa imebeba wageni walioshiriki uzinduzi huo wakiwamo mabalozi na viongozi mbalimbali wa kiserikali kutokea...
  17. Z

    Tuwe makini, wafanyabiashara wa mabasi na wasifirishaji wa mizigo wanaweza kuihujumu Treni ya SGR

    Uongozi wa TRA pamoja na mamlaka zingine ziwe makini sana na baadhi ya wafanyabiashara/wasafirishaji wa mabasi na malori ya mizigo wanaweza kuhujumu usafiri mpya ulio zinduliwa wa treni ya kisasa ya SGR. Tunafahamu baadhi ya wafanyabiashara za usafirishaji hawakufurahia ujio wa SGR kwa...
  18. F

    KERO Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?

    Najaribu kukata tiketi kwa njia ya mtandao lakini sifanikiwi, mfumo haufanyi kazi, nifanyeje? Pia soma: TRC: Tumewakamata Watu kadhaa waliokuwa wanafanya ulanguzi wa tiketi za SGR na kufanya udanganyifu
  19. Tlaatlaah

    Fursa kwa kila mtanzania kuonja utamu wa keki ya taifa letu kwa kusafiri na treni ya SGR kwa safari zake za kikazi, kitalii au kibiashara

    Ni usafiri tulivu, salama na wa uhakika sana, muonekano wa mandhari nzuri sana za misitu, milima na mabonde njiani ni burudani tosha, ukiachilia mbali huduma murua ndani ya treni, mazingira bora na ya kisasa sana ndani ya treni yenyewe. Tanzania imelamba dume kwa kukamilika na kuanza kazi kwa...
  20. Analogia Malenga

    Waziri Mwigulu: Nauli ya Dar kwenda Dodoma kwa treni ya Standard Gauge ni Takriban 30,000

    Akisoma bajeti ya serikali bungeni waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema, Rais Samia amekamilisha miradi mingi mbali na changamoto alizozikuta ikiwemo COVID19 na vita vya Ukraine. Mwigulu ameutaja mradi wa SGR kama mmoja wa mradi uliokamilika ambao amesema hadi sasa nauli zimeshatangazwa...
Back
Top Bottom