sgr dar morogoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    TRC yawaasa Abiria kupanga safari zao mapema kuanzia kesho Kwenye Vituo vya Magufuli na Samia

    Wanajukwaa! Jiji katika siku hizi 2 litakuwa bize sana so kila kitu kitakwenda kwa speend sana =================== Shirika la Reli Tanzania (TRC) limewaomba abiria wanaofanya safari zao kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma kupanga vizuri namna ya kufika mapema vituo vya stesheni...
  2. Mshana Jr

    Je TRC/SGR inahujumiwa ama inajihujumu!

    Kama usafiri wa treni ya umeme ungefanya Kazi kwa ufanisi hasa kwenye hii njia ya Dar Dodoma ingekuwa ni mkombozi na mapinduzi makubwa ya usafiri wa haraka Tanganyika. Nimemsikia mkurugenzi mkuu wa TRC alilalamika kwamba wanahujumiwa na wanawajua kwa majina wahujumu wote.. Hapa inashangaza...
  3. Mudawote

    KERO Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi

    Great thinkers, Naona huyu Mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za Jengo la Abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi? Nashauri Dkt Samia tumbua huyu Mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupanda treni Pia soma:Mrejesho: Asante JF...
  4. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Kihenzile aongoza safari ya kwanza ya Treni ya Umeme (SGR) Dar - Morogoro Julai 14, 2024

    Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kushereheka furaha ya kuanza kwa safari za treni ya mwendokasi (SGR) Dar es salaam - Morogoro leo June 14,2024, amewalipia tiketi abiria wote kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro na wanaotoka Morogoro kuja Dar es salaam kwa safari ya kwanza...
Back
Top Bottom