sgr ya tanzania vs sgr kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ChoiceVariable

    Nauli ya treni ya kasi Kenya ni Tsh. 400,000 wakati ya Tanzania ni Tsh. 100,000. Kwa nauli hizo Gen Z wapo sahihi

    Ikiwa nauli ya SGR Treni ya mwendokasi ya Kenya inayotumia diesel mwa umbali wa Nairobi-Mombasa ni Tsh. 400,000 wakati Kwa umbali huo huo wa Dar-Makutopora Kwa SGR ya umeme ya Tanzania ni Tsh. 100,000. Hata ungekuwa wewe ni Gen Z utaacha kuandamana kweli na kusema Ruto Must go?😂😂😂😂 -- Wizara...
  2. Mzee Nyerere

    VIDEO: Siri ya Migomo Kenya kisa ni wivu wa maisha mazuri ya Watanzania

    Kisa Cha migogoro isiyokwisha nchini Kenya ni wivu wa Maisha mazuri kwa Watanzania. Miongoni mwasababu za GEN Z kuandamana mpaka kupigwa risasi ni kutaka maisha ya Kenya yafanane na maisha ya Watanzania, Je, sisi Tanzania tunajua haya? Sikiliza huyu Mkenya akitoa Siri, #Mama Samia Mitano tena
Back
Top Bottom