shaaban robert

Shaaban bin Robert, also known as Shaaban Robert (1 January 1909 – 20 June 1962), was a Tanzanian poet, author, and essayist who supported the preservation of Tanzanian verse traditions. Robert is celebrated as one of the greatest Tanzanian Swahili thinkers, intellectuals and writers in East Africa and has been called "poet laureate of Swahili" and is also known as the "Father of Swahili." He is also honoured as the national poet.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Mwandishi nguli, Shaaban Bin Robert alikuwa ni Freemason?

    Kwanza nianze kwa kusema kuwa ufreemason unaozungumzwa hapa si ule wa kwenye nguzo za umeme. Ni ule wa watu wenye fikra huru wanaokusanyika pamoja ili kuboresha maisha ya binadamu. Kwa nini nauliza iwapo Shaaban Robert alikuwa ni freemason? Kuna huu ushahidi. 1. Nilikuwa nasoma kitabu cha...
  2. Loran

    Historia ya shaaban Robert

    Shaaban Robert Alizawa (1 Januari 1909 - 22 Juni 1962) alikuwa mshairi na mwandishi wa riwaya. Mchango wake katika lugha ya Kiswahili ni mkubwa kwani kazi zake zinaheshimika katika fasihi ya Kiswahili na pia zinatumika shuleni. Misha yake Shaaban Robert alizaliwa tarehe 1 Januari 1909 katika...
  3. eze malongo

    Naomba kumfahamu vizuri Shaaban Robert

    Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi? Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha hamzungumzii kwa lolote licha ya vitabu vyake kufanya vizuri A level secondary lakini ni kama...
  4. Lycaon pictus

    Utubora mkulima by Shaaban Robert

    KUACHA KAZI Baada ya kutoka Burma, siku moja, Utubora alisimama katika ofisi mbele ya tajiri wake kumwambia kuwa alitaka kuacha kazi. Kazi yake ilikuwa ukarani katika ofisi kubwa ya biashara ya karafuu. Mshahara wa Utubora ulikuwa simulizi karibu katika Unguja nzima; ilisemwa pia kuwa uliwatia...
  5. Lycaon pictus

    Maisha yangu na baada ya miaka hamsini: Simulizi ya maisha ya Shaaban Robert

    Hii ni simulizi ya maisha ya Shaaban Robert kama ilivyoandikwa na yeye mwenyewe. Fuatana nami uisome hapa, pia unaweza kuisoma bure ndani ya maktaba app (by pictuss) inayopatikana playstore. DIBAJI Ni fahari kubwa kwangu kukaribishwa kuandika maneno machache kuhusu kazi na sifa za marehemu...
  6. Red Giant

    Safari ya Shaaban Robert kutoka Tanga kwenda Mpwapwa

    ABIRIA CHEO CHA PILI DARAJA yangu katika kazi sasa ilikuwa imeniwezesha kusafiri kama abiria wa cheo cha pili katika gari moshi. Mapendeleo haya yanayotamaniwa yalinijia baada ya miaka kumi na nane ya kazi serikalini. Julai 13, 1944, nilichukua tikiti, na baada ya kuagana na marafiki...
Back
Top Bottom