shabani

Hussein Shabani is a Burundian professional footballer, who plays as a midfielder for Bugesera FC.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Zaituni Shabani Salum wa ZAMHSO: Elimu ya Afya ya Akili ni nguzo muhimu kwa kizazi chetu

    Katika kuendeleza mradi wa kutoa Elimu ya Afya ya Akili Shuleni Zanzibar, Taasisi ya Zanzibar Mental Health Support Organization (ZAMHSO) inaendelea kufanya juhudi kuhakikisha inafikia shule zaidi ya 50 Kisiwani Unguja kama ilivyo sema hapo awali pia kufikia zaidi ya Wanafunzi 5,000. Wahusika...
  2. Mkalukungone mwamba

    Djuma Shabani amepewa mkono wa kwaheri na klabu yake ya Namungo Fc

    Djuma Shabani soka la bongo limeshamkataa! Maana tangu atoke Yanga SC amekuwa wa kuhangaika tu. Ameenda huko Namungo kacheza mechi chache sana tena si kwa hule uzoefu wake so naona time yake imekwisha akatafute ugali sehemu nyingine tena nje ya Tanzania. ===================== Beki wa zamani wa...
  3. Bigmaaan

    Simulizi ya Operesheni Mauaji(1970) na Habiba Shaban

    Miaka ya 1970, kulitokea wimbi la mauaji ya waganga wa kienyeji mikoa ya Mwanza na Shinyanga. Wengi wa washukiwa waliachiwa huru baada ya kufikishwa mahakamani. Ndipo, Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa hiyo chini ya Uenyekiti wa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, waliagiza wote walioshukiwa na...
  4. B

    Masikini Djuma Shabani

    Anaonekana amekonda full stress full mawazo. On top of that he look so defeated. Yanga na Simba sio timu za kuziletea jeuri hata kidogo. Mashabiki wa mpira wa.miguu ni kama malaya. Malaya wanakupenda tu ukiwa unawapa kile wanacho kihitaji kutoka kwako. Uki stop tu kuwapa na wao wana stop...
  5. B

    Feisal, Djuma Shabani na Bangala wanatufundisha nini kupitia mafanikio ya Yanga baada ya kuondoka kwao?

    Wanatufundisha: 1. To let it go/ To let them go. 2. Tusishikilie au kun'gan'gania kitu kinacho taka kuondoka kwenye maisha yetu. Kama kuna kitu au mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako basi usimlazimishe abaki muache ende zake. 3. To move on. 4. To never look back. 5. Kila kitu kina...
  6. K

    Shabani kaoneka ni dhahiri alishindwa kwa pointi

    Binafsi nilifuatilia mpambano huu na mpambano ulikuwa ni mzuri na waamuzi wa mpambano huu walikuwa wakweli na hawakumuonea bondia yeyote. Katika pambano hili ni dhahiri kabisa Shabani Kaoneka alishindwa na hata zile pointi zilizokaribiana na mpinzani wake ni pointi za upendeleo. Kaoneka...
  7. K

    Ikiwa mkoloni hakumfunga Shaaban Robert, ndio kusema bora ya mkoloni kuliko Rais Samia?

    Hayati Shabaan Robert aliandika 'Kusadikika' na 'Kufikirika' ili kuisema Serikali ya Kikoloni ya Waingereza. Wakoloni hawakumkamata, badala yake aliendelea kufanya kazi katika Serikali ya Kikoloni. Hayati Saadani Kandoro pia aliandika shairi liitwalo 'Siafu Wamekazana', katika shairi hilo...
  8. K

    Djuma Shabani aibukia Azam

    Aliyekua beki wa klabu ya Yanga raia wa kimataifa wa Congo Djuma Shabani ametimkia klabu ya Azam ya jijini Dar-Es-Salaam kwa mujibu wa taarifa mbalimbali. Beki Djuma Shabani ameonekana kwenye viunga vya Azam akiwa anafanya mazoezi na klabu hiyo, huku vyanzo mbalimbali vikithibitisha beki huyo...
  9. MKAKA WA CHUO 2

    SoC02 Kaka Shabani ni wa kuigwa

    Kaka Shabani, ni kijana mwenye historia ndefu na ya kipekee katika maisha yetu ya siku hizi. Huyu ni mkaka anayemiliki pikipiki zipatazo ishirini na tano na viwanja katika maeneo mbalimbali, katika hali isiyo ya kawaida siku moja ilimlazimu atoe historia yake kutokana na tuhuma na hujuma...
  10. Suley2019

    Shabani Kaoneka alalamika Mandonga kupambwa zaidi yake aliyeshinda pambano

    Mabondia Karim Mandonga na Shaban Kaoneka wamerudi tena kwenye headlines kufuatia kauli ya Shaban Kaoneka aliyoitoa jana akizungumza na Wasafi. "Mandonga amepata bahati kuliko mimi, waandishi wa habari wakati mwingine mnakuwa wanafiki, mimi niliyeshinda nakuwa masikini aliyepigwa anakuwa...
  11. Mwamuzi wa Tanzania

    Bongo kila kitu kinawezekana, Mandonga kawa maarufu kuliko hata Shabani Kaoneka ambaye ndiye bingwa

    Bongo kila kitu kinawezekana. Mandonga kawa maarufu kuliko hata Shabani kuoneka ambaye ndiye bingwa wa pambano.
  12. TODAYS

    Baada ya Ryoba Kupigwa Mawe TBC, Shabani Kisu aibukia Channel Ten na Kipindi Kipya

    Wakati wa late Presida JPM ilionekana kuwepo tabia ya kusifu, kuabudu nk na baadhi ilionekana wanafanya kwa hofu au kujipendekeza kwa mkulu. Pamoja na madudu yaliyotokea pale TBC, ndugu Ryoba anaendelea kupigwa mawe kwa kuonekana alikuwa akiendesha kipindi kumsifia mbendembende late JPM...
  13. libeva

    Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

    Mtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines. Bango hilo liko maeneo ya Morocco Dar es Salaam ambayo ni barabara anayopita mumewe kila siku. Zama amesema kuwa mumewe...
Back
Top Bottom