shambulizi la iran

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Jeshi la Marekani lapeleka ndege za kivita aina ya F-15E Mashariki ya Kati ikijiandaa na shambulizi la Iran

    Kumekuchaaa! Ndege vita hatari ziko njiani kwenda Mashariki ya kati na tayari zimekatiza anga ya Jordan Iran kuishambulia Israel kutokea Iraq. ======== The United States is continuing to send forces to the Middle East ahead of an expected Iranian attack on Israel, with flight tracking sites...
  2. ITR

    Picha za uharibifu wa shambulizi la Iran dhadi ya Israel zimeanza kuvuja

    Picha za satalait zinazo onesha uharibifu kwenye base 2 za anga za Israel. shirika la habari la AP lilionesha picha za setalait za Ovde air base na Nevatim air base zikiwa zimeharibiwa vibaya sana.
  3. U

    Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Antonio Guterres apigwa marufuku kukanyaga Israel kwa kushindwa kulaani shambulizi la Iran na kuunga mkono magaidi

    Wadau hamjamboni nyote? Serikali ya Israel imempiga marufuku personal non grata Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa Antonio guterres kwa kushindwa kulaani shambulizi la makombora ya masafa marefu ya Iran dhidi ya Israel. Israel pia inamtuhumu kuwa na sera zenye uelekeo wa kutetea na kuunga...
  4. kimsboy

    Uchambuzi: Mambo 10 na kwanini shambulizi la Iran limefanikiwa kwa asilimia 100%

    Kiukweli kuna mambo nimeona nimejifunza kitu na kama taifa tunapaswa kujifunza kitu Kwanza, hili shambulizi limetokea kama Suprise tofauti na lile la mwezi April ambalo Israel walijiandaa vya kutosha nchi kama 30 zilienda kumsaidia kuanzia angani, baharini na nchi kavu. Pili, Iran katumia...
Back
Top Bottom