shanga

Shanga is an archaeological site located in Pate Island off the Eastern Coast of Africa. The site covers about 15 hectares (37 acres). Shanga was excavated during an eight-year period in which archaeologists examined Swahili origins. The archaeological evidence in the form of coins, pottery, glass and beads all suggest that a Swahili community inhabited the area during the eighth century. Evidence from the findings also indicates that the site was a Muslim trading community that had networks in Asia.

View More On Wikipedia.org
  1. Hyrax

    Uzoefu: Ukikutana na mwanamke kavaa Shanga kiunoni, kuna mambo mawili yafuatayo

    1. Ana mwanaume zaidi ya mmoja 2. Ni mshirika wa Ibada za Shirki Last but not listed: kuna mstari mwembamba kati ya shanga zile wanazovaa na mambo ya kucheza mechi za Kinyume champion League. Asanteni.
  2. R

    Asili ya shanga, rozali na misaafu ni ipi Hasa?

    Salaam, shalom!! Najaribu kuangalia tofauti kati ya shanga zinatumiiwa na Waganga, maasai, rozali na misaafu ,zinakuwa na mwonekano unaokaribiana Kwa karibu!! Nini Hasa asili ya shanga, rozali na misaafu ? Wenye majibu tafadhali 🙏
  3. Rufiji dam

    Mkwaziko: Mama Mkwe kanunua shanga ya mke wangu na yeye mwenyewe mbele yangu

    Wadau hamjambo nyoote? Leo nadhani nimepewa zawadi ya boxing day. Nilitoka na familia yangu mimi na mke wangu na mama mkwe ambaye kaja tu kusalimia nikaona si ubaya tukatoka tukaelekea Luguluni huko. Tukapata sehemu nzuri tukawa tunaongea maisha. Mara akapita Mmasai mkononi kashika zile fimbo...
  4. Pang Fung Mi

    Mwanamke kama havai shanga siwezi kuwa na mahusiano nae, kabla ya yote nauliza kuhusu Shanga kama anazo

    Sina mengi ya kusema kichwa cha habari Kiko bayana karibu tuzungumze wengine mna mtazamo gani kuhusu wanawake hasa kuvaa shanga. Vibe langu limekaa kwenye shanga, obviously shanga huambatana na miuno kama yote Pang Fung Mi
  5. Pang Fung Mi

    Kufanya mapenzi na Mwanamke ambaye hajavaa Shanga inanikata hamasa

    Waungwana sijui ni mizimu ya aina gani nakosa mzuka kumnyandua Mwanamke Ambaye hajavaa Shanga, nachafukwa nikiona demu hajavaa shanga na hana kawaida ya kuvaa shanga. Naboeka sana na aina hio ya wanawake Washamba. Pang Fung Mi
  6. BARD AI

    Mtoto atolewa Shanga kwenye Mapafu bila upasuaji Muhimbili Hospitali

    Wazazi wameaswa kufuatilia michezo ya watoto kwa karibu zaidi na kuwazuia kuweka vitu mdomoni, puani pamoja na masikioni ili kuwaepusha na madhara mbalimbali ikiwemo madhara ya kudumu na kifo. Kauli hiyo imetolewa na Jopo la Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Kifua na Moyo, Mapafu na Mfumo wa...
  7. K

    Kuna kijimstari chembamba sana kinachomtenganisha mwanamke anayevaa shanga kiunoni na tabia za umalaya

    Habari wakuu, Kuna observation nimekuwa naifanya, nimegundua wanawake wengi wanaovaa shanga kiuononi ni malaya waliokubuhu. Asanteni
  8. Equation x

    Ni ipi kazi ya shanga kwenye mahusiano?

    Kutokana na utandawazi, karibia robo tatu ya warembo kwa nyakati hizi huwa wanavaa shanga kiunoni au ata miguuni; wao wanaita urembo. Ingawa wao wanavaa wakiamini, huwa zinawapendezesha na pia uwavutia wapenzi wao pale wanapokuwa au wanapohitaji kuwa kwenye mahusiano. Mara nyingi warembo...
  9. Chizi Maarifa

    Baada ya hapa wataanza omba wapewe na shanga zao.

    Unakuta kabisa mtoto wa kiume anasema apewe maua yake.. unashangaa.... Unaaangalia unasema hiiiiiiii.... Mtoto wa kiume anaomba apewe maua? Siku zijazo si atasema apewe na shanga kabisa? Sisi wakati tunakua ndo tulikuwa wanawake tunawapa maua. Siku hizi mtoto wa jinsia me anataka apewe maua...
  10. Lycaon pictus

    Materials gani hutumika kutengeneza shanga?

    Eti wakuu. Shanga huundwa na materials gani? Maana plastic si plastic.
  11. Mwamuzi wa Tanzania

    Kijana wa hovyo Ibu aliyemaliza wadada wa mtaa wote kisa alikuwa anavaa shanga na kukatika viuno kwenye tendo

    Ni miaka ya 2000/2001 huko wilayani kwetu jamaa mmoja aliyeitwa Ibu aliibua taharuki mtaani baada ya kubuni style ya kuwavutia wadada. Alikuwa akivaa shanga na kukatika viuno vya kiwango cha SGR. Sasa kila dada akipitiwa anaweza kusimulia kuwa Ibu ni moto wa kuotea mbali. Basi wakawa wao ndio...
  12. Komeo Lachuma

    Kisa cha Shanga: Leo nimekutana na binti wa Kijijini ambaye nilifanya msala kijijini Wamama wakaja kusemelea kwa Bibi

    Likizo niliambiwa this time unaenda kumsalimia bibiyo. Nikaona si Issue....nikabadili mazingira huko Morogoro. Basi nikaenda kule kijijini nlikuwa gumzo miaka hiyo nimepiga pamba kali nimeweka na plata shavuni kama Nelly. Basi walikuwepo watoto wakali sana ila mimi domo zege halafu sina...
  13. Uhakika Bro

    Bora wazee waliobadilishana almasi kwa shanga na vikombe sisi leo mahindi/mazao kwa makaratasi meupe!

    Yas kama bei ya karatasi [hizi rimu/ream sijui] imefikia sijui 20,000s, na gharamagharama sijui thelathini naa huoni kama ni yaleyale. Ya kutoa dhahabu na kupewa kioo!! Tunapewa kakitu kadogo tusichozalisha kwa bei kubwa na ili kupata fedha za kununulia huto tuvitu tunauza chakula chetu cha...
  14. mzee wa magumashi

    Shanga zinasaidia nini akivaa mwanamke?

    Salama wakuu. Naleta Uzi huu kwenu mnipe ushauri napata shida kufikiri Sana kwamba shanga zinaongeza mahaba kwa mwanamke kivipi? Au zimewekewa ashiki kuwa mwanaume akiziona dushe linatuna na mahaba kedekede siyo mzoefu na kifupi sijawahi kula mwanamke wa shanga. Na shinikizo linakuja kwa watu...
  15. Quetzal

    Naomba kufahamu kazi ya Shanga na Cheni za kiunoni

    Je, hizi shanga na chain za kiunoni kazi Yake Nini hasa..au Ni urembo TU.. Je, zikivaliwa huwa zinahamasisha Jinsia me?..
  16. WomanOfSubstance

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu? 1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia 2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia au yote kwa pammoja 3: Na mwisho ni Shanga za kiunoni. Je, waonaje? Vyapoteza maana halisi kwa...
  17. Gily Gru

    Marehemu Babu na mbinu za kuwapata wanawake wengi

    Mwaka 2003, safari yangu ya kwenda Tanga iliiva kutoka mkoani Kilimanjaro, kwa babu mzaa baba, kuelekea Tanga kwa babu mzaa mama. Siku hiyo nyumbani kwa babu kulikuwa na sherehe, basi watu walikula na kucheza sana. Wakati wa kucheza babu akanikuta niko nimeshikilia jimama nacheza nalo, ile...
Back
Top Bottom