1. Ana mwanaume zaidi ya mmoja
2. Ni mshirika wa Ibada za Shirki
Last but not listed: kuna mstari mwembamba kati ya shanga zile wanazovaa na mambo ya kucheza mechi za Kinyume champion League.
Asanteni.
Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu?
1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia
2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia au yote kwa pammoja
3: Na mwisho ni Shanga za kiunoni.
Je, waonaje? Vyapoteza maana halisi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.