sheikh amri abeid

Sheikh Amri Abeid Memorial Stadium is a multi-purpose stadium in Arusha, Tanzania. It is currently used mostly for football matches and serves as the home venue for Arusha FC. The stadium was the host of the 2011 Kilimanjaro Bowl, the first American football game played on the continent of Africa. It holds 20,000 people.

View More On Wikipedia.org
  1. Saint Ivuga

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Simba SC is a Tanzanian football club based in Dar es Salaam. Their home games are played at two stadiums Uhuru Stadium and National Stadium. Simba SC is one of two biggest football clubs in Tanzania, their archrivals being the Young Africans. The club had several names during its history, when...
  2. briophyta plantae

    DOKEZO Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ni aibu kwa jiji

    Uwanja wa michezo wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid ni uwanja wa michezo uliopo katika jiji la Arusha Uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu (soka)na shughuli nyingine mbalimbali za kitaifa. mchezo wa kwanza wa Futboli ya Kimarekani nchini Tanzania ulionyeshwa katika...
  3. Mkalukungone mwamba

    Full Time: Coastal Union 0-1 Yanga SC | NBCPremierLeague | Sheikh Amri Abeid | Novemba 26, 2024

    Coastal Union VS Yanga SC NBCPremierLeague Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Tarehe: Novemba 26, 2024 Muda: Saa 10:00 jioni Mechi imeanza karibu kupata burudani ya Soka
  4. Shark

    FT: Simba SC 1 - 0 KMC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Kaluta Stadium -Arusha | 25.05.2024

    Leo Timu bora kuliko zote Africa Mashariki na Kati kwa mujibu wa CAF, Mnyama Simba Sport Club anakutana na KMC katika mchezo wa NBC Premier League. Simba inaingia uwanjani ikiwa inawania nafasi ya pili ambayo inaishikilia timu ya Azam hivyo ushindi pekee ndio utakaoiweka katika nafasi nzuri ya...
  5. Mad Max

    FT: Federation Cup: Azam FC 3 - 0 Coastal Union | 18 May 2024 | CCM Kirumba Stadium

    Tumeanza mechi. Kikosi cha Azam FC kinachoanza Kikosi cha Coastal Union kinachoanza Dakika ya 41 Azam wamepata penalty... Gooooal - Sopu
  6. Teko Modise

    Arusha: Walimu wote wa Serikali watakiwa kujitokeza uwanjani kesho Sheikh Amri Abeid kumpokea na kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM

    Kuna meseji zinatembea za magrupu zikiwataka walimu wa jiji la Arusha wale wa serikali kwenda uwanja wa Sheikh Amri Abeid kesho jumamosi kuanzia saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria ziara ya katibu mkuu wa ccm, Ndugu Chongolo. NB: Walimu wanatakiwa kujigharamia nauli na chakula katika ziara...
  7. Greatest Of All Time

    Coastal Union 0-2 Yanga | Ligi Kuu Bara | Sheikh Amri Abeid

    Ni weekend tena. NBC Premier League inaendelea ambapo Wagosi wa Kaya, Coastal Union watashuka dimbani kuwaalika Mabingwa watetezi wa taji, Yanga katika dimba la Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha. Mara ya mwisho timu hizo zilikutana katika dimba hilo mwezi wa saba mwaka huu katika mchezo wa...
  8. ESCORT 1

    Walimu Arusha watakiwa kwenda uwanjani Sheikh Amri Abeid kesho kwaajili Rais Samia

    Kesho kunafanyika maadhimisho ya wiki ya Usalama barabarani mkoani Arusha ambapo mgeni rasmi ni Rais Samia Suluhu Hassan. Katika kuhakikisha shughuli hiyo inafana, walimu wote wa shule za sekondari na msingi Arusha, wameagizwa kwenda kuhudhuria bila kukosa shughuli hiyo. Walimu pekee ambao...
  9. Idd Ninga

    Kilichomkuta Mwarabu aliyempiga kibao Sheikh Amri Abeid

    Shekhe Amri Abeid ni mmoja ya washairi maarufu Tanzania na Meya wa kwanza Mwafrika ambaye pia ni mwanafunzi mwenzake wa Baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakiwa wamesoma wote shule moja ya Tabora. Siku moja Moja Shekhe Amri Abeid akiwa na Shekhe Mubaarak walikuwa wakipita katika...
  10. mpalu

    Sheikh Kaluta Amri Abeid ni nani katika historia ya taifa hili?

    Wadau naomba mwenye taarifa kamili za SHEIKH AMRI ABEID anipatie kwani nimejitahidi kufuatilia kwenye vyanzo tofauti nimeshindwa kabisa kupata taarifa zake. Nimeuliza wakazi wengi wa Arusha lakini wengi wao hawana taarifa za kueleweka.Ni nani huyu hasa katika historia ya Taifa letu au kwa mkoa...
Back
Top Bottom