sheikh issa ponda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Shekhe Ponda: Nilipopigwa risasi na polisi (2013), askari wenzake walimshangaa mwenzao

    Shekhe Issa alipokuwa akihojiwa na Jambo Tv ameeleza kuwa mwaka 2013 risasi aliyopigwa ilipita nyuma ya beaga na kutokea mbele. Anaeleza hata askari wengine walioshuhudia tukio hilo walishangaa kwanini askari mwenzao alifanya hivyo.
  2. J

    Shehe Ponda: Chadema inaelekea Hatarini, Tukihubiri Demokrasia basi Tuitekeleze na tukidai Katiba mpya turekebishe za kwetu na Kwenye Ukomo tuwe mfano

    Kichwa cha Habari ni maneno ya Busara Kutoka Kwa Kiongozi mkubwa wa Dini ya Islam Shehe Ponda Shehe Ponda anasema Chadema inaelekea Hatarini Tukihubiri Demokrasia basi Tuitekeleze na tukidai Katiba Mpya turekebishe za kwetu na Kwenye Ukomo tuwe mfano Ukurasani kwake X ni kauli ambayo...
  3. The Watchman

    BAKWATA yafunguliwa kesi, kisa na mkasa Mamlaka yake ya kidini

    Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda, pamoja na viongozi wengine 11 wa Kiislam, wamefungua kesi ya kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakipinga mamlaka ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) juu ya maamuzi yanayohusu masuala ya dini...
Back
Top Bottom