Wadau hamjamboni nyote?
Someni wenyewe hapo chini:
''Ndugu zetu wa damu wanajua wao kila jini ni shetani, kumbe kuna majini wengine waumini na wacha Mungu. na anasema mwenyezi Mungu (Sikuwaumba majini na wanadamu isipokuwa wapate kuniabudia mimi) kwahiyo siyo kila jini ni shetani ijapokuwa...
Sheikh Kipozeo amshukia Afande Sele kuhusu kifo cha Magufuli.
Sitii langu hapa kwa sasa, jionee mwenyewe:
Chanzo: https://youtu.be/_rImiIvDHnI?si=jVvGaHv0PVX-7CeH
MAONI YA SHEIK KIPOZEO
Naona watanzania, Taifa taratibu taratibu linaanza kujivua ile heshima lililoivaa siku zote.
Tumejitia upofu wa kuikimbia hoja na UKWELI, tukajikita katika kudadavua nani kaleta hoja hiyo.
Niko kwenye Magroup & vikundi vya kijamii kadhaa vyenye Waislamu & Wakristo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.