sheikh kipozeo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Shehe Kipozeo asema kuwa siyo kila jini ni Shetani

    Wadau hamjamboni nyote? Someni wenyewe hapo chini: ''Ndugu zetu wa damu wanajua wao kila jini ni shetani, kumbe kuna majini wengine waumini na wacha Mungu. na anasema mwenyezi Mungu (Sikuwaumba majini na wanadamu isipokuwa wapate kuniabudia mimi) kwahiyo siyo kila jini ni shetani ijapokuwa...
  2. Sheikh Kipozeo amshukia Afande Sele kuhusu kifo cha Magufuli

    Sheikh Kipozeo amshukia Afande Sele kuhusu kifo cha Magufuli. Sitii langu hapa kwa sasa, jionee mwenyewe: Chanzo: https://youtu.be/_rImiIvDHnI?si=jVvGaHv0PVX-7CeH
  3. Sheikh Kipozeo: Tujikite katika hoja sio kuanza kumtafuta mtoa hoja

    MAONI YA SHEIK KIPOZEO Naona watanzania, Taifa taratibu taratibu linaanza kujivua ile heshima lililoivaa siku zote. Tumejitia upofu wa kuikimbia hoja na UKWELI, tukajikita katika kudadavua nani kaleta hoja hiyo. Niko kwenye Magroup & vikundi vya kijamii kadhaa vyenye Waislamu & Wakristo na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…