sheikh kishki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    Sheikh Nurdin Kishki: Uchawa unakatazwa katika Uislam

    Wakuu niaje? Nimekutana na clip ya Sheikh Kishki akisema kuwa Uchawa (kujipendekeza kwa watu ili update maslahi kumekatazwa katika Uislam). Vipi kuhusu viongozi wetu wa dini ambao wamekuwa machawa wabobevu? Hebu msikilize mwenyewe hapo chini utie neno
  2. FaizaFoxy

    Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

    Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu. Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
  3. LIKUD

    Sheikh Kishki yupo sahihi ila huyu Bwana Mdogo Shareef Firdaus ana nyota kubwa sana

    Kaka angu sheikh Kishki upo sahihi sana kuhusu sakata la huyu Bwana mdogo " Abdul Dunya" almaarufu " Shareef Firdaus". Dogo ana karama sana ana nyota sana na anakubalika sana. Bora umpotezee tu. Raia mitaani jijini Darusalama wanamkubali ile kinomanoma. Kwa Raia mitaani, Kishki vs Shareef...
  4. U

    Sheikh Kishki: Tuna bahati sana ya kuwa na Mufti anayekubalika kitaifa na kimataifa

    "Sisi waislamu wa Tanzania tunashukuru sana Allah kwa sababu sasa mufti tuliyenaye anakubalika sana. Taasisi za kitaifa na kimataifa na serikali za nchi mbalimbali duniani kote huko Mufti wetu anakubalika sana..."TUNA BAHATI YA KUWA NA MUFTI ANAYEKUBALIKA" "Awali tulishuhudia mashindano makubwa...
Back
Top Bottom