Wakuu niaje?
Nimekutana na clip ya Sheikh Kishki akisema kuwa Uchawa (kujipendekeza kwa watu ili update maslahi kumekatazwa katika Uislam).
Vipi kuhusu viongozi wetu wa dini ambao wamekuwa machawa wabobevu?
Hebu msikilize mwenyewe hapo chini utie neno
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
Kaka angu sheikh Kishki upo sahihi sana kuhusu sakata la huyu Bwana mdogo " Abdul Dunya" almaarufu " Shareef Firdaus".
Dogo ana karama sana ana nyota sana na anakubalika sana. Bora umpotezee tu.
Raia mitaani jijini Darusalama wanamkubali ile kinomanoma.
Kwa Raia mitaani, Kishki vs Shareef...
"Sisi waislamu wa Tanzania tunashukuru sana Allah kwa sababu sasa mufti tuliyenaye anakubalika sana. Taasisi za kitaifa na kimataifa na serikali za nchi mbalimbali duniani kote huko Mufti wetu anakubalika sana..."TUNA BAHATI YA KUWA NA MUFTI ANAYEKUBALIKA"
"Awali tulishuhudia mashindano makubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.