Abu Abd Allah al-Sheikh Muhammad ibn Yahya (Arabic: أبو زكرياء محمد الشيخ المهدي) (also known as Abu Abdellah al-Shaykh Muhammad ben Yehya, Abu Abdallah Sheikh Muhammad ibn Yahya or Muhammad ibn Yahya al-Sheikh) was the first Wattasid Sultan of Morocco and King of Fez between 1472 and 1504.
Mtakuja Kunishukuru sana !!.
Kama Kuna video ambayo Sheikh Yahya anatabiri kuanzia Ujio wa Hayati Dkt JPM, Kisha Rais Dkt Samia, na kwamba Baadae Upinzani unachukua Nchi.
Tumieni Kila kitu mlichonacho kuhakikisha Huo unakua Wimbo Mtaani kuanzia Mijini mpaka Vijijin.
Kwa wanaoona Mbali kama...
Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
Sheikh Yahya alifariki 2021
Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.
Mbinu za maangamizi;
1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.
Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.
Lakini pia imiza vijana wengi kwenda...
Kwanza Kabisa nawatakieni ninyi nyote Sabato yenye Baraka.
Nimesoma mahali kwamba Mtabiri wa taifa enzi za Nyerere Shehe Yahya Hussein alitabiri Uongozi ujao kuanzia awamu ya 4 hadi ya 6 Watatawala CCM lakini awamu ya 7 atachaguliwa Kiongozi wa Upinzani Kuongoza nchi
Kwamba mwisho wa CCM. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.