sheria bora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    KERO Maadhimisho ya wiki ya sheria Shinyanga wanaadhimisha kwa kuvunja sheria wakipiga muziki kwa sauti ya juu hadi usiku huu

    Hii nchi unaweza kudhani watu wamesoma basi wana akili timamu, lakini la hasha! Kitendo cha hawa watu wa sheria kupiga muziki mkubwa kiasi cha kuondoa utulivu kwa jinsi muziki ulivyo mzito, kinaashiria aina ya watu waliojaa ukanda huu wa Afrika ni wa aina gani. Hapo inapigwa miziki ya siku...
  2. M

    Kuelekea kutafuta Katiba mpya na Sheria bora za Uchaguzi, maoni yangu ni haya

    Ndugu zangu Watanzania, nimeona nitoe maoni yangu machache tunapoelekea kutafuta Katiba mpya na Sheria bora za Uchaguzi. Mimi nilidhani tufanye yafuatayo:- 1. Kiundwe chombo cha kitaifa kitakachoongoza na kuratibu hii movement. - Chombo hiki kitokane na angalau Watanzania wa makundi...
  3. Tlaatlaah

    Ewe Raia mwema wa Tanzania usidanganyike, tii Sheria bila shuruti, zingatia wito na uamuzi wa Mahakama na Wananchi kwa hekima na busara

    Ni uzalendo wa maana sana kuitikia wito wa dola, kutii maelekezo, ilani au amri za vyombo vya ulinzi na usalama bila ukaidi, ubishi wala kiburi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.. Jitahidi sana uwe Raia mwema siku zote, muungwana, mzalendo, mtiifu kwa sheria na katiba ya nchi, na kutoa...
  4. Makox

    Majibu ya rufaa yangu baada ya kufukuzwa kazi serikalini

    Poleni na majukumu ndugu zangu Wanafamilia ya JamiiForums! Nimerudi Tena kuleta mrejesho na kuomba kuendelea kuongezewa uwezo kwani naamini kuwa humu mpo baba zangu, mama zangu na wengine wengi. NINAWAHESHIMU na KUWATHAMINI SANA kwa umuhimu wenu. Mapema mwaka huu Baada ya kutengenezewa tuhuma...
  5. T

    Tanzania iliyo bora: Tunahitaji sheria bora, inayosimamia na kuwajibisha

    Ili kujenga taifa tulitakalo na kufikia ndoto za wengi, ni lazima tukabiliane na matatizo yaliyomo ndani ya nchi yetu kwa kuboresha na kusimamia sheria. 1. Uwajibikaji wa viongozi katika kusimamia rasilimali za umma pamoja na uongozi. 2. Kuundwe sheria, au kuwe na utekelezaji wa sheria...
Back
Top Bottom