Hii nchi unaweza kudhani watu wamesoma basi wana akili timamu, lakini la hasha!
Kitendo cha hawa watu wa sheria kupiga muziki mkubwa kiasi cha kuondoa utulivu kwa jinsi muziki ulivyo mzito, kinaashiria aina ya watu waliojaa ukanda huu wa Afrika ni wa aina gani.
Hapo inapigwa miziki ya siku...
Ndugu zangu Watanzania, nimeona nitoe maoni yangu machache tunapoelekea kutafuta Katiba mpya na Sheria bora za Uchaguzi. Mimi nilidhani tufanye yafuatayo:-
1. Kiundwe chombo cha kitaifa kitakachoongoza na kuratibu hii movement.
- Chombo hiki kitokane na angalau Watanzania wa makundi...
Ni uzalendo wa maana sana kuitikia wito wa dola, kutii maelekezo, ilani au amri za vyombo vya ulinzi na usalama bila ukaidi, ubishi wala kiburi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi..
Jitahidi sana uwe Raia mwema siku zote, muungwana, mzalendo, mtiifu kwa sheria na katiba ya nchi, na kutoa...
Poleni na majukumu ndugu zangu Wanafamilia ya JamiiForums!
Nimerudi Tena kuleta mrejesho na kuomba kuendelea kuongezewa uwezo kwani naamini kuwa humu mpo baba zangu, mama zangu na wengine wengi.
NINAWAHESHIMU na KUWATHAMINI SANA kwa umuhimu wenu.
Mapema mwaka huu Baada ya kutengenezewa tuhuma...
Ili kujenga taifa tulitakalo na kufikia ndoto za wengi, ni lazima tukabiliane na matatizo yaliyomo ndani ya nchi yetu kwa kuboresha na kusimamia sheria.
1. Uwajibikaji wa viongozi katika kusimamia rasilimali za umma pamoja na uongozi.
2. Kuundwe sheria, au kuwe na utekelezaji wa sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.