Ninaishauri serikali ya Tanzania kupitia Bunge, kutunga na kuingiza Sheria ya mitaala mipya ya elimu kwenye katiba ya nchi.
Huu ni hatua muhimu katika kuhakikisha mfumo wa elimu unakuwa thabiti na endelevu, bila kuathiriwa na mabadiliko ya kisiasa au kubadilishwa kwa viongozi wa elimu.
Kila...
Tanzania imepiga hatua kuelekea mfumo wa Kisheria unaowajibika zaidi na wa haki, kama inavyoonekana katika Ripoti ya 2024 ya Mradi wa Haki Duniani (WJP) kuhusu Utawala wa Sheria.
Hatua za utawala chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan dhidi ya ufisadi zimetajwa kuimarisha heshima ya...
1) MARUFUKU KUTAFUNA BABLISH/BIG-G UWAPO SINGAPORE
Singapore ilipiga marufuku vitu vyote vinavyofanana na big-g mwaka 1992. Yeyote atakayeingiza bidhaa hii kutoka nje ya nchi, atakayeuza au kutengeneza atakutana na kisheria iwe kulipa faini au kutumikia jela.
2) HUTAKIWI KUWAPA CHOCHOTE NJIWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.