sheria ngowi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Best Daddy

    Uongo Uongo: Anguko la 'Credibility' Yanga

    Ni habari gani sasa unaweza kuipokea mikono miwili kutoka Yanga? Nje ya nje uliyoishuhudia mwenyewe? Hii haijaanza leo, ila sikutegemea kama ingeendelea hadi leo. Taasisi yeyote kuwa katika midomo ya watu ni jambo bora sana. Ni miaka mingi imepita sasa tuliaminishwa kuwa ' There is no such...
  2. M

    Lini Sheria Ngowi utaacha kuchora vikatuni na makorokoro katika jezi za Yanga? Jezi za Yanga ni mbaya balaa.

    Salam. Aisee nimekuwa nikimpa udhuru huyu designer wa jezi za Yanga kwa kudhani labda atajirekebisha katika siku za usoni ila wapi! Jezi nzuri duniani ni zile ambazo hazina mambo mengi, ni plain na simple tu ila kwa huyu designer wa Yanga ni tofauti aisee. Kwake jezi lazima aweke vikatuni...
  3. Gemini AI

    Tumalize utata: Jezi ipi kali msimu huu kati ya Yanga na Simba?

  4. B

    CRDB, ZFF na Sheria Ngowi waingia Mkataba wa udhamini wa jezi za Zanzibar Heroes

    Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Tabia Maulid Mwita (katikati waliosimama) akishuhudia utiaji saini wa mkataba wa ushirikiano wa kibiashara na udhamini kwa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Zanzibar (Zanzibar Heroes), kati ya Benki ya CRDB...
  5. Orketeemi

    Fred Ngajiro vs Sheria Ngowi?

    Ifike mahali Watanzania tusitake kufananisha utam wa sukari na chumvi wala bei zake Namaanisha nini? SHERIA NGOWI anafahamika Kwa kila mtu kuwa ni mbunifu wa mavazi, Yes SHERIA kubuni mavazi ndio maisha yake, hivyo anachokifanya pale Yanga ni kuyaishi maisha yake na kuendeleza kipaji chake...
  6. GENTAMYCINE

    Hivi Designer wa Yanga SC Sheria Ngowi unajua kuwa wana Yanga SC 'wamekumaindi' kwa Ulichowafanyia katika Mijezi yao Mibovu mipya ya Juzi?

    Mwana Yanga SC Mwenge Kama Designer Wetu aliishiwa Uzi si angesema tu tuliyonayo tumpe? Mwana Yanga SC Ubungo Huyu Designer Wetu na hivi ni Mchagga lazima tu atakuwa kabania Nyuzi na katumia Nyuzi kidogo ili zingine akauze na akajengee Kwao Moshi Mwana Yanga SC Kawe Huyu Designer Wetu kama...
  7. N

    Sheria ngowi aishukia Yanga utumiaji hovyo wa jezi

    Haki ya Mungu CEO Senzo hata kusimamia tu utumiaji wa jezi hawezi halafu wachambuzi takataka wanakuambia jamaa ni kichwa kishenzi yaani wanasema alikuwa kamati ya maandalizi ya world cup jamaa ni genius hatari Kwa mujibu wa mbunifu wa jezi za Young Africans Sports Club Sheria Ngowi alisema...
  8. Granted Faith

    Sheria Ngowi na Theocabrini na team yote wametengeneza jezi za Yanga nzuri haijawai kutokea Afrika

    Sheria Ngowi na Theocabrini Pamoja na Team Yote Wametengeneza Jezi za YANGA Nzuri sana Africa Hakuna Jezi Nzuri kama za YANGA Kwa Sasa Kwenye Jezi inaonyesha Wananchi Kwenye Jezi Inaonyesha YANGA Mabingwa Mara 27 Kwenye Jezi inaonyesha home of Champions Wengi hawawezi kuelewa theme ya Jezi...
Back
Top Bottom