Mambo vp wadau?
Kwanini "Telecom Companies" hutuma flash SMS badala ya zile za kawaida?
Kwanini ujumbe au tangazo ambalo lingewezekana kutumwa kwa njia ya sms ya kawaida linatumwa kwa njia ya flash SMS??
Hilo ndio swali langu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.