Shemeji yangu alikuwa anaishi/amepanga kwenye nyumba za shirika la uma. Kutokana na matatizo ya kiuchumi alichelewesha kodi ya pango na hivyo shirika lile likamvunjia mkataba wa upangaji na kumpa siku 14 awe ameachia nyumba. Aliandika barua kuomba aongezewe muda michache na atalipa Kodi ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.