Madai ya rafikiyangu msabato kuwa Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya Fedha kutekeleza sheria ya jumapili yana ukweli? Wadau hamjamboni nyote?
Ni Madai ya rafiki yangu mmoja wa kisabato kuhusu maandalizi yanayofanywa na kanisa Katoliki kuelekea utekelezaji wa sheria ya jumapili - Sunday Law...