sheria ya kazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwongozo wa Sheria ya kazi kwenye kukataza ajira ya mtoto, ajira ya shuruti na kupiga marufuku ubaguzi katika ajira

    Sheria imeweka kinga maalum za msingi ili kuhakikisha mazingira ya kazi yanakuwa ya staha na heshima kwa kukataza ajira ya mtoto, ajira ya shuruti na kupiga marufuku ubaguzi katika ajira. Makatazo haya yanawahusu pia, Jeshi la Wananachi wa Tanzania, Polisi, Magereza na Jeshi la Kujenga Taifa...
  2. Utaratibu wa likizo Mbalimbali kwa mujibu wa Sheria ya kazi

    Wafanyakazi wafuatao wanastahili likizo ya malipo, Waliofanya kazi kwa zaidi ya miezi sita mfululizo, Wafanyakazi wa msimu, Wafanyakazi waliofanya kazi kwa kipindi tofauti kwa mwajiri mmoja katika mwaka iwapo vipindi husika vikijumlishwa vitazidi miezi sita. Walioajiriwa katika utumishi wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…