Rais Vladimir Putin ameweka sheria ya kijeshi - kwa mara ya kwanza katika historia ya Urusi ya sasa, kwa sasa sheria hiyo inatekelezwa katika eneo pekee lililotwaliwa na Moscow.
Baraza la shirikisho liliidhinisha kwa kauli moja uamuzi wa Bw Putin. Rais mara moja alianzisha ''hatua'' mbali...