sheria ya maadili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Je, miaka 30 jela ni suluhisho sahihi kwa wale ambao watakiuka sheria ya maadili ya kutembea na wanafunzi?

    Tangu sheria ya kumlinda mtoto wa kike hasa wanafunzi wale waliochini ya umri wa miaka 18 kumekuwa na mazoea fulani ambayo jamii inahitaji kuyafanyia ufumbuzi Jambo la kwanza. Sheria imejikita zaidi kuwaangalia wahanga( Watoto) lakini jamii haina mafunzo ya kutosha kuhusu kujilinda kwa watoto...
  2. P

    Waziri Gwajima tengua uamuzi wako wa kuunga mkono sheria ya maadili Arusha, hili ni bomu unatengeneza

    Moja kwa moja kwenye mada, Uongozi wa Kijiji Arumeru, Mkoa wa Arusha ulipitisha sheria ndogondogo za kukuza maadili baada ya matukio ya vijana kuuawa kwa makosa ya kuiba na mmomonyoko wa maadili ikiwemo kunyoa viduku na kuvaa vimini ndio sababu! Waziri Dkt. Gwajima D uko serious kabisa ku...
  3. RWEZAURAJOHN

    Inahitajika Sheria ya Maadili kwa Viongozi wa Imani Tanzania

    UHURU wa kujieleza na uhuru wa imani ni mema. Lakini mapungufu yake yanaporuhusu maadili kukiukwa, hiyo sheria inatakiwa kurekebishwa. Maadili yana aina nyingi. _Maadili katika kusema, _Maadili katika matendo, _Maadili katika kuwaelekeza waumini cha kufanya. _Maadili katika mwonekano wa nje...
Back
Top Bottom