sheria ya malezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. goodhearted

    Baada ya Ndoa kuvunjika, sheria inasemaje kuhusu matunzo ya mtoto? Ni hiari au ni lazima Wazazi kutunza watoto?

    Jamaa amezinguana na mkewe. Mkewe kakimbilia kufungasha mizigo na vyombo vya ndani. Ameacha amefanya uharibifu kwa kuvunja simu ya msela kwa makusudi. Simu hiyo alinunuliwa na mme wake sasa wakati anaondoka mme alimtaka aiche (lengo mme akague kuona kama kuna ajenda iliyojificha yq yeye...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Sheria ya malezi iseme; kama Mwanamke hawezi Kulea mtoto ampeleke Kwa Baba yake. Hiyo ndio Mantiki na si vinginevyo

    SHERIA YA MALEZI ISEME; KAMA MWANAMKE HAWEZI KULEA MTOTO AMPELEKE KWA BABA YAKE, HIYO NDIO MANTIKI NA SIO VINGINEVYO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Unajua kuna Wakati mpaka unashangaa wanaotunga hizi sheria uwezo wao wa kufikiri ukoje nazungumzia hizi sheria za mahusiano hasa ya Mume na...
  3. ChoiceVariable

    Sheria ya Malezi: Ukitelekeza Mtoto Jela Miezi 6 au Faini Milioni 5

    Moja kwa Moja kwenye mada. Kwa wale ambao Huwa mnazaa na kutelekeza Watoto mjiandae vizuri maana Sheria ya Malezi imeboreshwa.. Ikibainika umetelekeza mtoto awe wa Nje ya ndoa au ndani basi adhabu yake ni jela Miezi 6 au Faini ya sh.Milioni 5 au vyote Kwa pamoja.. Ila Kwa mtizamo wangu mbona...
Back
Top Bottom