Jamaa amezinguana na mkewe.
Mkewe kakimbilia kufungasha mizigo na vyombo vya ndani. Ameacha amefanya uharibifu kwa kuvunja simu ya msela kwa makusudi. Simu hiyo alinunuliwa na mme wake sasa wakati anaondoka mme alimtaka aiche (lengo mme akague kuona kama kuna ajenda iliyojificha yq yeye...
baba kutoa matumizi ya mtoto
child support
haki ya mtoto
haki ya watoto kupata melezi
kushindwa kuishi pamoja
matunzo ya watoto
sheriayamalezi
single
single mothers
wazazi kutalikiana
SHERIA YA MALEZI ISEME; KAMA MWANAMKE HAWEZI KULEA MTOTO AMPELEKE KWA BABA YAKE, HIYO NDIO MANTIKI NA SIO VINGINEVYO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Unajua kuna Wakati mpaka unashangaa wanaotunga hizi sheria uwezo wao wa kufikiri ukoje nazungumzia hizi sheria za mahusiano hasa ya Mume na...
Moja kwa Moja kwenye mada.
Kwa wale ambao Huwa mnazaa na kutelekeza Watoto mjiandae vizuri maana Sheria ya Malezi imeboreshwa..
Ikibainika umetelekeza mtoto awe wa Nje ya ndoa au ndani basi adhabu yake ni jela Miezi 6 au Faini ya sh.Milioni 5 au vyote Kwa pamoja..
Ila Kwa mtizamo wangu mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.