Mtoto ni mtu yeyote aliye na umri chini ya miaka 18, kutokana na kifungu cha 4 (1) cha Sheria ya Mtoto ya Tanzania ya mwaka 2009. Mtoto ana haki kama mtu mwingine (adult). Haki kama ya kupiga kura, mtoto hana. Hii ni kwa mujibu wa Ibara ya 5 (1) ya Katiba ya Tanzania.
Sheria ya mwaka 2009 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.