sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    SoC04 Umuhimu wa kuwepo kwa haki ya kusahaulika katika Sheria za Tanzania hasa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa binafsi na. 11, 2022

    UTANGULIZI: Haki ya kusahaulika ni haki ambayo inawezesha mtu kama kuna taarifa zake zimekusanywa na mkusanya taarifa yoyote, au mchakata taarifa, anaweza kwenda kuomba kwamba taarifa hizi mlizokuwa nazo kuhusu mimi sitaki muendelee kuwa nazo kwa sababu labda matumuzi yake yameisha au kwa namna...
  2. P

    Je, ni sawa kwa Wanajeshi kurekodi video kama hizi na kuzisambaza mtandaoni?

    Wakuu kwema? Nimekutana na video hii mtandaoni, ambako huyu 'kuruta' (kama sijakosea) anapewa amri ya kugeuka kulia na kushoto, kijana huyo anafata maagizo aliyopewa huku anayetoa maagizo na wengine wakisikika wakicheka. Nini dhumuni la kurekodi video hizi mpaka kufikia hatua ya kuzirusha...
  3. R

    Utungaji wa Sheria nchini uzingatie Mtiririko Mzuri na Matumizi ya Lugha Rahisi

    Ili wananchi waweze kuelewa vizuri Sheria mbalimbali nchini pamoja na vifungu vyake, kunatakiwa kuwe na mtiririko mzuri katika uandishi wake pamoja na matumizi ya lugha rahisi. Wananchi wanapaswa kuwa na uwezo wa kuelewa sheria bila kuhitaji msaada wa kisheria au ufafanuzi wa ziada. Hii...
  4. R

    Maneno 'Usalama wa Taifa' kutumiwa kwenye Sheria ya Ulinzi wa Taarifa binafsi bila kupewa tafsiri yanaweza kutumiwa vibaya kwa uonevu

    Kwa mujibu wa Kanuni za Usalama wa Taifa, Uhuru wa Kujieleza na Upatikanaji wa taarifa za Johannesburg 1996; zuio kwa misingi ya 'Usalama wa Taifa' haliwezi kukubalika endapo lengo halisi ni kulinda maslahi yasiyohusiana na Usalama wa taarifa. Zuio kwa misingi ya kulinda Usalama wa Taifa...
Back
Top Bottom