sheria za kiislamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Down To Earth

    Kwanini Christiano Ronaldo hashtakiwi kwa Sheria za kiislamu huko Saudi Arabia?

    Saudi Arabia ni nchi ambayo inaongozwa kwa sheria ya dini ya Kiislamu yaani Sharia. Tena ukiwa Saudi Arabia ni kosa kubwa kuishi na mwanamke ambaye haujamuoa. Lakini Cristiano Ronaldo anaishi na Georgina ambaye hajamuoa na hakamatwi wala kushitakiwa. Contradiction...
  2. Mindyou

    Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

    Wakuu. Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws. Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote. Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali...
  3. I

    Wakristo wa Yemen walishinikizwa kufuata sheria za Kiislamu: ‘Tulilazimishwa kuvaa hijabu’

    Ndio maana ninakataa siku zote kwamba hizi sio dini ila ni utamaduni tu wa watu kwani kama ingelikuwa ni dini basi mambo ya kipumbavu kama haya yasingekuwepo. Endelea kusoma.👇 Wakristo wa kusini-magharibi mwa Arabia, na hasa katika Aden, mji wa bandari ulioko Yemen, wana historia yenye mizizi...
  4. U

    Suluhusho pekee la kupatikana amani duniani ni nchi zote kufata sheria za Kiislamu, uovu utakoma, upendo utaongezeka

    Wadau hamjamboni nyote? Mimi ni muumini wa dini ya Ukristo lakini nasema kutoka sakafu ya moyo wangu kuwa sheria za Kiislamu ndiyo suluhisho pekee na lakudumu la kupatikana kwa amani ya kudumu duniani kote. Matatizo makubwa tunayopitia duniani yanatokana na kudharau matumizi ya sheria za...
  5. M

    Bakwata itatoa tamko walinzi wa kiume kuingia na kuchanganyika na wanawake ni ruksa

    Moyo wangu unajisukuma kuandika haya, kwa kuwa naona kesho. Ndani ya muda mchache kuanzia sasa Baraza kuu la waislam wa BAKWATA litatoa tamko kuwa ni sahihi kwa walinzi wa Rais kuingia na kuchanganyika na wanawake. Sababu kuu ikiwa ni Quran haijakataza kuchanganyika sawa na tofauti za...
Back
Top Bottom