sheria za maliasili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Je maliasili imebadili Sheria faini za pikipiki?

    Habari zenu ndg jamaa, naomba kuuliza kama Kuna mwenye kujua, nilikua najishughulisha na biashara ya kubeba mkaa hapa mkoan Dodoma katika mihangaiko yangu mwaka Jana mwezi wa na Nne tulikamatwa na maliasili Mimi na mwenzangu tulikua wawili. Mwenzangu pikipik ili kua mpya hata week hajamaliza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…