Habari zenu ndg jamaa, naomba kuuliza kama Kuna mwenye kujua, nilikua najishughulisha na biashara ya kubeba mkaa hapa mkoan Dodoma katika mihangaiko yangu mwaka Jana mwezi wa na Nne tulikamatwa na maliasili Mimi na mwenzangu tulikua wawili.
Mwenzangu pikipik ili kua mpya hata week hajamaliza...