shida maji kinyerezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Wakazi wa Kinyerezi hatuna maji leo siku ya 3

    Mheshimiwa Waziri Juma Aweso, Wakazi wa Kinyerezi, hasa Wakazi ambao tupo karibu na mitambo ya kuzalishia umeme ya Kinyerezi; tunasikitika kukiarifu kuwa hatuna huduma ya maji safi kabisa, leo ikiwa ni siku ya 3 tangu DAWASA walipositisha kutupatia huduma hii. Cha kushangaza zaidi ni kwamba...
  2. KERO Waziri wa Maji jitokeze huko uliko uagize Tabata Kinyerezi wafunguliwe maji

    Mimi kama mama. Naomba waziri waa mbie waache visa vyao, wanapogombana wao kwa wao anayeumia ni mama. Wasichana wadogo wanabakwa, wakinamama tunadhalilika. Jamani tuoneeni huruma mpate uongofu wa Mungu. Hawa watu waache kumtesa mwanamke. Imetosha baasi. Haiwezekani nadamka asb kuchota maji...
  3. KERO DAWASA wanauza maji kwa njia ya magari Kinyerezi wakati Mabomba hayatoi maji

    DAWASA KINYEREZI WAHUJUMU UCHUMI… Hii ni habari ni inayopaswa kuchukuliwa na kufanyiwa kazi na Mamlaka nyingine za nchi kwa haraka sana. Ni hivi, kutokana na uhitaji wa maji kuongezeka na watumiaji kuwa wengi, Serikali iliamua kuanzisha ofisi nyingine kwa upande wa Tabata kwa kufungua ofisi ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…