Wakazi wa mwanza, wilaya ya nyamagana kata ya Buhongwa maji yamekuwa ni changamoto sana, tuna wiki ya pili hatuna maji na kila mara hii hali hujirudia rudia.
Tushalifikisha mpaka kwa mwenyekiti lakini jambo limekuwa kizungumkuti.
Hii changamoto utatatuliwa lini?
Pia soma
KERO - Tatizo sugu...