shida ya usafiri kwa wanafunzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Gulugujatza

    Mabasi ya mwendokasi yawe suluhisho kwa wanafunzi mikoani

    Habari za Asubuhi mlio hai na kupata uzima wenye Nuru na baraka kutoka kwa Mungu Mwenye mamlaka ya dunia hii. Leo Asubuhi Wakati naelekea kwenye mazoezi ya kuweka mwili fiti kidogo nilibahatika kupitia kwenye Barabara kubwa yenye mengi magari hapa mkoani kwangu,kubwa zaidi lilonifanya nifike...
  2. Kyambamasimbi

    Wanafunzi wanaosoma shule msingi Msimba Mikumi wanatembea umbali mrefu sana kwenda shule. Serikali waonee huruma Watanzania hawa

    Habari wanaJF. Jamani, nimeexperience mara kadhaa nikiwa nasafiri barabara ya Iringa kutoka Morogoro, huwa naona watoto wadogo wa shule ya msingi Msimba wakitembea umbali mrefu kufuata shule iliko. Mbaya zaidi, wakati wa masika huwa wanatia huruma sana watoto hawa, na huwa wananyooka wakitembea...
  3. K

    Uanzishwe mpango maalumu wa usafiri Kwa wanafunzi wa shule za Umma

    Kwako Waziri wa uchukuzi Prof. Makame Mbarawa na wahusika wengine. Kwanza, napenda kuwapa pole Kwa kazi ngumu na pongezi Kwa kazi nzuri ambayo wizara ya uchukuzi inafanya hususani ujenzi wa miundombinu mbalimbali na kubwa zaidi ujenzi wa Reli. Waziri, binafsi ninakukubali Kwa uchapakazi na...
Back
Top Bottom